Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt.Amani Abeid Karume alipowasili katika viwanja vya Kampyni ya Mafuta ya United Petroleum (UP) Mangapowani kwa ajili ya Uzinduzi wa Bohari ya Mafuta ya kampuni hiyo leo 4-3-2023.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment