Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt.Amani Abeid Karume alipowasili katika viwanja vya Kampyni ya Mafuta ya United Petroleum (UP) Mangapowani kwa ajili ya Uzinduzi wa Bohari ya Mafuta ya kampuni hiyo leo 4-3-2023.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment