Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt.Amani Abeid Karume alipowasili katika viwanja vya Kampyni ya Mafuta ya United Petroleum (UP) Mangapowani kwa ajili ya Uzinduzi wa Bohari ya Mafuta ya kampuni hiyo leo 4-3-2023.
MUTATEMBWA ATAKA VIVUTIO VYA UTALII VYA TANZANIA VITANGAZWE KIMATAIFA
-
Na Catherine Mbena/Arusha
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Anderson Mutatembwa
amelitaka Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment