Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi Afungua Bohari ya Mafuta Bandari Jumuishi Mangapwani Zanzibar Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 4-3-2023

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt.Amani Abeid Karume alipowasili katika viwanja vya Kampyni ya Mafuta ya United Petroleum (UP) Mangapowani kwa ajili ya Uzinduzi wa Bohari ya Mafuta ya kampuni hiyo leo 4-3-2023.



































 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.