Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao Maalum na Watendaji mbalimbali wa Wizara ya Fedha na Mipango wakiongozwa na Waziri wake Dkt. Mwigulu Nchemba, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara wakiongozwa na Waziri wake Dkt. Ashatu Kijaji, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakiongozwa na Kamishna Mkuu Alphayo Kidata pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Kusiluka. Kikao hicho kimefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Mei, 2023.
Umoja wa Ulaya Waadhimisha Miaka 50 Tanzania
-
· Siku ya Ulaya 2025 yaadhimisha Miaka 50 ya ushirikiano wa EU na Tanzania
na Miaka 25 ya mahusiano ya EU na AU
· Miongoni mwa wageni rasmi walikuwepo, Mhe...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment