Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao Maalum na Watendaji mbalimbali wa Wizara ya Fedha na Mipango wakiongozwa na Waziri wake Dkt. Mwigulu Nchemba, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara wakiongozwa na Waziri wake Dkt. Ashatu Kijaji, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakiongozwa na Kamishna Mkuu Alphayo Kidata pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Kusiluka. Kikao hicho kimefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Mei, 2023.
MULIKA TANZANIA YAZIDI KUWAFIKA MACHINGA NA KUWAJENGEA UWEZO
-
Taasisi ya Mulika Tanzania imewajengea uwezo kwa kundi maalumu la
Wamachinga 15 kwa ajili ya uainishaji wa vituo vya Afya vinavyotoa huduma
ya Afya ya ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment