Mkurungenzi wa Jukwaa la ZIFF, Martin Muhando akizungumza
na waandishi wa habari, kuhusiana na mafunzo ya waandishi wanaoandaa filamu
Tanzania chini ya program ya kuwawezesha vijana ijulikanayo kama MultiChoice
Talent Factory.Kulia ni Katibu
Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Dk. Kiango Kilonzo na baadhi ya wakufunzi
wa filamu.
Mkurugenzi wa MultiChoice Talent Factory Africa, Mwabisa
Matyumza (katikati), akizungumza na waandishi wa habari, kuhusiana na mafunzo
ya waandishi wanaoandaa filamu Tanzania.Kulia ni Mkurungenzi wa Jukwaa la ZIFF, Martin Muhando na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Dk. Kiango Kilonzo.
No comments:
Post a Comment