Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza
Mwanzilishi wa Kampuni ya Avomeru Bw. Jesse Oljange kuhusu ukamuaji wa mafuta
mbalimbali ikiwemo ya zao la parachichi katika Maonesho ya Kimataifa ya
Wakulima Nane Nane yaliyofanyika Kitaifa kwenye viwanja vya John Mwakangale
Jijini Mbeya tarehe 8 Agosti, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza
Mhandisi wa Mtaani (Street Engineer) Adam Zacharia Kinyekile kutoka Tunduma
Mkoani Songwe jinsi alivyobuni na kutengeneza mashine hiyo ya kuvuta maji,
kupukuchua mahindi kusaga nafaka pamoja na kubeba Mizigo wakati wa Maonesho ya
Kimataifa ya Wakulima Nane Nane ambapo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya
John Mwakangale Jijini Mbeya tarehe 8 Agosti, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasikiliza
Vijana waliohitimu Mafunzo ya Elimu ya Juu na kujiingiza kwenye masuala ya Kilimo
na kuelezea jinsi walivyofanikiwa kwenye Sekta hiyo katika viwanja vya John
Mwakangale Jijini Mbeya tarehe 8 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mkurugenzi wa AVOAFRICA Tanzania Ltd Nagib Karmali kuhusu namna alivyoitikia wito wa Rais Samia kuja Tanzania kuwekeza kwenye Kilimo cha Parachichi katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nane Nane yaliyofanyika kwenye viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya tarehe 8 Agosti, 2023.
No comments:
Post a Comment