Katibu Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Dkt Aboud Suleiman Jumbe na Mkurugenzi wa Idara ya Sera Mipango na Utafiti wa Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Ndg Sheha Idrissa Hamdan, walialikwa studio za Bahari FM 97.5 Zanzibar kuzungumzia masuala mbali mbali ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi katika Sekta za Uchumi wa Buluu
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment