Katibu Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Dkt Aboud Suleiman Jumbe na Mkurugenzi wa Idara ya Sera Mipango na Utafiti wa Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Ndg Sheha Idrissa Hamdan, walialikwa studio za Bahari FM 97.5 Zanzibar kuzungumzia masuala mbali mbali ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi katika Sekta za Uchumi wa Buluu
ORYX GAS YATOA MKONO WA EID KWA WATOTO WANAOLELEWA NEW FARAJA ORPHANAGE
-
Na Mwandishi Wetu
KITUO cha kulea watoto yatima cha New Faraja Orphanage kilichopo Mburahati
jijini Dar es Salaam kimepokea msaada mkubwa wa vyakula mbalim...
22 minutes ago

0 Comments