Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa wakati akikagua Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023
Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi waliohudhuria tukio la ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023
Taswira ya Daraja la Msingi lenye urefu wa Mita 100, lililopo katika Kijiji cha Msingi, Mkalama Mkoani Singida. Daraja hilo limezinduliwa Rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 16 Oktoba, 2023
No comments:
Post a Comment