MUONEKANO wa jengo la Skuli ya Msingi Donge Mkoa
wa Kaskazini Unguja likiendelea na ujenzi wake leo 23-10-2023 limewekewa Jiwe
la Msingi la ujenzi wake na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakati wa ziara yake katika Mkoa huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa
Serikali na Wakuu Vikosi vya Ulinzi na Usalama alipowasili katika viwanja vya
Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge Mkoa wa Kaskazani Unguja, akiwa katika
ziara yake na kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi hiyo leo 23-10-2023 na (kushoto
kwa Rais) Mkuu wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Msimamizi wa Mradi wa Ujenzi
wa Skuli ya Msingi Donge Mhandisi Abel Ben akitowa maelezo wa michoro ya ujenzi
huo, wakati wa ziara yake na kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo leo
23-10-2023, na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub
Mohammed Mahmoud na (kulia kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali
Zanzibar Mhe Lela Muhammed Mussa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la
Mradi wa Ujenzi Skuli ya Msingi Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 23-10-2023,
akiwa katika ziara yake katika Mkoa huo kutembelea Miradi ya Maendeleo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia na kupiga makofi wakati Mshairi
maarufu Zanzibar Ndg.Kassim Yussuf akisoma shairi wakati wa hafla ya uwekaji wa
Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja leo 23-10-2023 na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja
Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya kuweka Jiwe la Msingi
la Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
23-10-2023, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo
katika Mkoa huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya kuweka Jiwe la Msingi
la Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
23-10-2023, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo
katika Mkoa huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya kuweka Jiwe la Msingi
la Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
23-10-2023, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo
katika Mkoa huo
WANAFUNZI na Wananchi wa Kijiji cha Donge Mkoa
wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwahutubia
baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge,
akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Mkoa huo leo
23-10-2023
WANAFUNZI na Wananchi wa Kijiji cha Donge Mkoa
wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwahutubia
baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge,
akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Mkoa huo leo
23-10-2023
WANANCHI wa Kijiji cha Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwahutubia katika
viwanja vya Skuli ya Sekondari Donge, baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi
wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi
ya Maendeleo ya Mkoa huo leo 23-10-2023
WANANCHI wa Kijiji cha Donge Mkoa wa Kaskazini
Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwahutubia katika
viwanja vya Skuli ya Sekondari Donge, baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi
wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi
ya Maendeleo ya Mkoa huo leo 23-10-2023
WANAFUNZI na Wananchi wa Kijiji cha Donge Mkoa
wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwahutubia
baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Msingi Donge,
akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Mkoa huo leo
23-10-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi mbalimbali zilizotolewa
na Wananchi wa Donge kwa ajili yake, akikabidhi na Bi. Fatma Saleh (Bi.Ukindu)
baada ya kuzungumza na Wananchi wa Kijiji hicho na kuweka Jiwe la Msingi la
Skuli ya Msingi Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja,wakati wa ziara yake leo 23-10-2023
No comments:
Post a Comment