Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amewaapisha Majaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Aliowateua Hivi Karibuni

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, wakati ukipigwa wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki kabla ya kuwaapisha Majaji wa Mahkama Kuu Zanzibar akiowateua hivi karibuni, na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdullah, hafla hiyo ya kuapisha iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023.
MAJAJI wateule wa Mahkama Kuu Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakisubiri kuapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Majaji  wa Mahkama Kuu Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023  na kutoka (kulia ) Mhe.  Khadija Shamte Mzee, Mhe. Salum Hassan Bakari na Mhe. Haji Suleiman Khamis (Tetere) 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe. Khadija Shamte Mzee kuwa Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akikabidhi  hati  ya kiapo ya  Mhe. Khadija Shamte Mzee  baada ya kumuapisha  kuwa Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar, hafla hiyo ya kuapisha iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023 na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akumuapisha Mhe.Salum Hassan  Bakari  kuwa Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar, hafla hiyo ya kuapishwa iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023  na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi  Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini hati ya Kiapo ya Mhe. Salum Hassan Mzee, baada ya kumuapisha kuwa Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023  na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini hati ya Kiapo ya Mhe. Salum Hassan Mzee, baada ya kumuapisha kuwa Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023  na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe. Haji Suleiman Khamis (Tetere) kuwa Jaji wa Hahkama Kuu Zanzibar, hafla hiyo ya kuapisha iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023 na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi  na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidi hati ya kiapo Mhe. Haji Suleiman Khamis (Tetere)  baada ya kumuapisha kuwa Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar,hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023
WAKUU wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia  kuapishwa kwa  Majaji  wa Mahkama Kuu Zanzibar, walioteuliwa hivi karibuni, wakiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023
MAJAJI wa Mahkama Kuu Zanzibar wakifuatilia kuapishwa kwa Majaji wa Mahkamu Kuu Zanzibar walioteuliwa hivi karibu, wakati wakiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi , hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023

WATENDAJI  wa Mahkama Zanzibar na wageni waalikwa wakifuatilia hafla ya kuapishwa kwa Majaji wa Mahkama Kuu Zanzibar  walioteuliwa hivi, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwaapisha katika ukumbi Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Majaji wa Mahkama Kuu Zanzibar aliowaapisha na Viongozi  Wakuu wa Serikali, baada ya kumalizika kwa hafla ya kuwaapisha katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 16-11-2023
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.