Habari za Punde

Ziara ya Siku Moja ya Rais wa Romania Mhe.Klaus Iohannis Zanzibar


Watoto Hiyam Muhsin na Said Issa wakiwa na mau a kwa ajili ya mapokezi ya Rais wa Romania Mhe. Klaus Iohannis wakati wa kuwasili katika Bandari ya Malindi Zanzibar kwa ajili ya ziara yake ya Siku moja Zanzibar, akitokea Jijini Dar es Salaam.
RAIS wa Romania Mhe. Klaus Iohannis akiwa na Mkewe Mama Carmen Iohannis   wakikabidhiwa maua  na Watoto  Hiyam Muhsin na Said Issa  walioandaliwa  kwa ajili ya mapokezi  yake alipowasili katika Bandari wa Malindi Jijini Zanzibar leo 18-11-2023  kwa ziara ya siku moja  Zanzibar akitokea Jijini  Dar es Salaam
RAIS wa Romania Mhe.Klaus Iohannis  akisalimia  na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhe. Jamal Kassim Ali alipowasili katika bandari ya Malindi Jijini Zanzibar  kwa ziara ya Siku moja Zanzibar, akitokea Jijini Dar es Salaam  na (kulia kwa Waziri) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Muhamed  Mussa



RAIS wa Romania  Mhe.Klaus Iohannis  akiwa na Mkewe na (kushoto kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhe.Jamal Kassin Ali  wakiangalia ngoma ya Msewe iliyoandaliwa kwa  ajili ya mapokezi yake alipowasili katika Bandari ya Malindi Jijini Zanzibar  kwa ziara ya Siku moja akitokea Jijini Dar es Salaam
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.