Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shaban akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya APR.FC Banga Solomon wakati wa mchezo wao na Timu ya JKU mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar Timu ya APR.FC imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
UKAGUZI WA MABASI YA ABIRIA WAFANYIKA KUDHIBITI AJALI
-
Na Pamela Mollel Arusha
Jeshi la Polisi Nchini kupitia kikosi cha Usalama barabarani limefanya
ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria kwa ajili ya kudhibit...
6 hours ago



0 Comments