Mshabuliaji wa Timu ya Singida FG akimiliki mpra huku mabeki wa Timu ya Simba wakijiandaa kumzuoya wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi mchezo unaofanyika usiku huu Uwanja wa Amaan Complex. Timu ya Simba ikiwa mbele kwa mabao mawili dhidi ya Singida.FG.
DKT. MUYUNGI ASISITIZA KASI UJENZI WA JENGO LA OMR, MTUMBA DODOMA
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi akipata maelezo
kuhusu hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa mradi wa jengo la ofisi hiyo
unaoendelea ka...
27 minutes ago










0 Comments