Mkuu wa Chuo cha City College Ilala Dar es Salaam Ndg. Shaban akimkabidhi zawadi ya shilingi laki mbili mchezaji mwenye nidhamu katika Mchezo wa Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya APR.FC Banga Solomon wakati wa mchezo wao na Timu ya JKU mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar Timu ya APR.FC imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
Benki ya CRDBB Yatwaa Tuzo ya Mshindi wa Jumla kwa Uwasilishaji Bora wa
Taarifa za Fedha Tuzo za NBAA
-
Dar es Salaam, Tanzania — Benki ya CRDB imethibitisha kwa mara nyingine
tena uongozi na ubora wake katika utayarishaji wa taarifa za fedha baada ya
kutunu...
1 hour ago



0 Comments