Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg. Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha tasilim mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup kutoka Timu ya APR.FC Niyibizi Ramadhan kwa kuchaguliwa na jopo la Makocha katika Mchezo huo wa Kombe la Mapinduzi Cup dhidi ya Timu ya JKU mchezo uliofanyikav Uwanja Amaan Complex Zanzibar leo 2-1-2024.Timu ya APR .FC. imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
11 hours ago



0 Comments