Meneja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC Insurance) Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi zwadi ya Mchezaji Bora kutika Timu ya Simba Fabrice Ngoma kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 dhidi ya Timu ya Singida FG. mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibarn 3-1-2023.Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
UJENZI WA JENGO LA KITUO CHA MAFUNZO YA KUONGEZA THAMANI MADINI YA VITO
WAANZA JIJINI ARUSHA
-
■ Ni mkakati wa kuhakikisha madini vito yanaongezewa thamani nchini.
■Ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais.Dkt. Samia katika kuendeleza mnyororo
wa madi...
30 minutes ago



0 Comments