Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Ilala Shambani Mwanga akimkabidhi zawadi Mchezaji wa Timu ya Singida FG. Kelvin Kijili baada ya kuibuka Mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, dhidi ya Timu ya Simba mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar katika mchezo huo Timu ya Simba imeshinda kwa bao 2-0.
Sekela Apongeza Uongozi wa Rais Samia Katika Kuinua Wanawake
-
Na Pamela mollel,Arusha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongezwa
kwa juhudi zake za kuhamasisha wanawake kushiriki kikamil...
49 minutes ago

0 Comments