Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Ilala Shambani Mwanga akimkabidhi zawadi Mchezaji wa Timu ya Singida FG. Kelvin Kijili baada ya kuibuka Mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, dhidi ya Timu ya Simba mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar katika mchezo huo Timu ya Simba imeshinda kwa bao 2-0.
TCB YAZINDUA KAMPENI YA MSIMU WA SIKUKUU, YATOA REJESHO LA 10% KWA WATEJA
WA POPOTE VISA
-
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua Kampeni Kabambe ya Msimu wa
Sikukuu yenye lengo la kuwazawadia wateja wanaotumia kadi ya Popote Visa
kufanya m...
56 minutes ago

0 Comments