Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu
Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024. Kikao hicho kimefanyika
Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango,
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha
Mhe. John Mongella.
Viongozi mbalimbali wa Serikali waliohudhuria Kikao hicho Ikulu Ndogo ya
Arusha tarehe 16 Februari, 2024.
Viongozi mbalimbali wa Serikali waliohudhuria Kikao hicho Ikulu Ndogo ya
Arusha tarehe 16 Februari, 2024
No comments:
Post a Comment