Habari za Punde

Matukio ya Picha Kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla leo tarehe 14.02.2024 ameshiriki  kikao cha Kwanza katika Mkutano wa kumi na nne (14) wa Baraza la Kumi(10) la Wawakilishi, Chukwani Zanzibar.

Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR)

Tarehe.14.02.2024




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.