Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameufunga Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo Ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Dr. Said Kilindimo akitowa maelezo ya kutowa huduma ya kwanza kwa mgonjwa wa maradhi ya moyo, wakati akitembelea mabanda ya maonesho katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, kabla ya kuufunga Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufunga Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 10-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufunga Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 10-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi maalum Dr. Zahra Khan kutoka Hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam kwa kujibu vizuri maswali wakati wa Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar, wakati wa ufungaji wa mkutano huo uliyofanyika leo 10-2-2024, na (kulia kwake) Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hassan Khamis Hafidh
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Bi.Asha Ressa Izina, wakati wa ufungaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 10-2-2024 na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Prof Dr.Ali Civelek wa Chuo Kikuu cha Istanbul Aydin Turkey, aliyemsomesha wakati akichukua mafunzo ya udaktari Nchini Uturuki, baada ya ufungaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 10-2-2024

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.