MSANII wa Muziki wa Kizazi kipya (Zenj Flava) Muslee akitowa burudani wakati wa Uzinduzi wa Sherehe za Maadhimisho ya Miaka
60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliofanyika katika viwanja vya
maonesho Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 14-4-2024
MSANII wa Muziki wa Kizazi kipya (Zenj Flava) Chab Six akitowa burudani wakati wa Uzinduzi wa Sherehe za Maadhimisho ya Miaka
60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliofanyika katika viwanja vya
maonesho Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 14-4-2024
MSANII wa Muziki wa Kizazi kipya (Zenj Flava) Rico
Single akitowa burudani wakati wa Uzinduzi wa Sherehe za Maadhimisho ya Miaka
60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliofanyika katika viwanja vya
maonesho Nyamanzi Dimani Ndambani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 14-4-2024
No comments:
Post a Comment