RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akiuliza
bei na kununua viungo vya mchuzi kwa mfanyabiashara wa mbogamboga Ali Hassan
Ali, baada ya kulifungua Soko Jipya la Mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja, ufunguzi huo uliofanyika leo 26-10-2024, ikiwa na Maadhimisho ya Wiki
ya kumpongeza Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa mafanikio ya
Uongozi wake katika kipindi cha Miaka Minne ya Uongozi wa Serikali Awamu ya
Nane Zanzibar
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA UKARABATI MKUBWA WA RELI
YA TAZARA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amesema ukarabati wa reli ya TAZARA utaimarisha Ukanda wa Kati na
Kusi...
6 hours ago
















No comments:
Post a Comment