RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akiuliza
bei na kununua viungo vya mchuzi kwa mfanyabiashara wa mbogamboga Ali Hassan
Ali, baada ya kulifungua Soko Jipya la Mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja, ufunguzi huo uliofanyika leo 26-10-2024, ikiwa na Maadhimisho ya Wiki
ya kumpongeza Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa mafanikio ya
Uongozi wake katika kipindi cha Miaka Minne ya Uongozi wa Serikali Awamu ya
Nane Zanzibar
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment