RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akiuliza
bei na kununua viungo vya mchuzi kwa mfanyabiashara wa mbogamboga Ali Hassan
Ali, baada ya kulifungua Soko Jipya la Mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja, ufunguzi huo uliofanyika leo 26-10-2024, ikiwa na Maadhimisho ya Wiki
ya kumpongeza Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa mafanikio ya
Uongozi wake katika kipindi cha Miaka Minne ya Uongozi wa Serikali Awamu ya
Nane Zanzibar
CAMARTEC YABUNI TEKNOLOJIA MPYA KUINUA SEKTA YA KILIMO NA UFUGAJI
-
Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) kimeanzisha
mbinu mpya za mafunzo kwa wakulima kuhusu usindikaji wa mazao, ikiwemo
mwani korosho...
8 hours ago















0 Comments