RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akiuliza
bei na kununua viungo vya mchuzi kwa mfanyabiashara wa mbogamboga Ali Hassan
Ali, baada ya kulifungua Soko Jipya la Mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja, ufunguzi huo uliofanyika leo 26-10-2024, ikiwa na Maadhimisho ya Wiki
ya kumpongeza Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa mafanikio ya
Uongozi wake katika kipindi cha Miaka Minne ya Uongozi wa Serikali Awamu ya
Nane Zanzibar
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment