Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Mjadala wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya Jumuiya hiyo tarehe 29 Novemba, 2024.
Viongozi mbalimbali wakiwa
kwenye Mjadala wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Jijini
Arusha.
Viongozi mbalimbali wakiwa
kwenye Mjadala wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Jijini
Arusha.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment