Habari za Punde

WAZIRI MASAUNI ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAZINGIR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni akifafanua jambo wakati wa Kikao cha Mashauriano na Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira wa mwaka 2024 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Dustan Shimbo akitoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali wakati wa Kikao cha Mashauriano na Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira wa mwaka 2024 na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira jijini Dodoma 
Wajumbe Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira wakiwa katika Kikao cha Mashauriano na Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira wa mwaka 2024 jijini Dodoma

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akifuatilia Kikao cha Mashauriano na Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira wa mwaka 2024 na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira jijini Dodoma 
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga akiongoza Kikao cha Mashauriano na Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira wa mwaka 2024 mbele ya jijini Dodoma 


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.