MUONEKANO wa moja ya Boti Tatu za Kusafirisha Wangonjwa “Ambulance Boat” zilizozinduliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika
eneo la Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya
Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
Habari : Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Ashiriki Mkutano wa Dharura wa SADC
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi
W...
13 hours ago




No comments:
Post a Comment