MUONEKANO wa moja ya Boti Tatu za Kusafirisha Wangonjwa “Ambulance Boat” zilizozinduliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika
eneo la Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya
Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
AHADI YA SERIKALI KUFIKISHA UMEME WA GRIDI KAGERA YATEKELEZWA
-
- Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote
Kagera kupata umeme wa Gridi
-Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini Uganda hivy...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment