RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa, alipowasili katika viwanja vya
Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, akiwa katika ziara yake
kutembelea soko la jumbi kuangalia mwenendo wa biashara na upatikanaji wa
bidhaa katika masoko ya Jumbi,Mwanakwerekwe na Darajani, ziara hiyo
iliyofanyika leo 24-2-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mfanyabiashara wa mbogamboga
katika Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wakati wa ziara yake
kutembelea Soko hilo kuangalia mwenendo wa biashara na upatikanaji wa bidhaa
mbalimbali katika Soko hilo, ziara hiyo iliyofanyika leo 24-2-2025, na (kulia
kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa na
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiuliza swali kwa Mfanyabiashara wa
mchele Stella Job, katika Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B”Unguja, wakati
wa ziara yake kutembelea masoko ya Mkoa wa Mjini Magharibi leo 24-2-2025, Soko
la Jumbi,Mwanakwerekwe na Darajani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiangalia bidhaa ya mchele wakati wa
ziara yake katika Soko la Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 24-2-2025,
kuangalia mwenendo wa biashara na upatikanaji wa bidhaa katika soko hilo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko la
Jumbi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 24-2-2025, akiwa katika ziara yake
katika masoko ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, kuangalia mwenendo wa biashara
na upatikanaji wa bidhaa katika masoko hayo ya Jumbi,Mwanakwerekwe na Darajani
No comments:
Post a Comment