Habari za Punde

Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Yatowa Huduma za Kibenki Kwa Wananchi Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu na Mkurugenzi Rasilimali Watu Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Viwe Ali Juma,wakati akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja 1-5-2025.
Mkurugenzi Rasilimali Watu Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Viwe Ali Juma,akitowa huduma za Kibenki kwa Wananchi waliotembelea maonesho ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja 1-5-2025.



Wafanyakazi wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) wakitowa huduma za Kibenki kwa Wananchi waliotembelea maonesho ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja 1-5-2025.






 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.