Askari wa kikosi cha usalama Barabarani Mkoa wa Songwe Koplo Rajabu Said na Konstebo Cosmas Kagiligili wakiwa na bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini Karim Mandonga (Mtu Kazi) Mei 02, 2025 baada ya kumpa elimu ya usalama barabarani walipokutana naye Kata ya Mahenje akitokea Mkoa wa Mbeya na kuelekea Mji wa Tunduma Wilaya ya Momba Mkoani Songwe.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa
Amrepokea Tuzo ya Kuendeleza Ufugaji Nyuki Nchini. Watanzania Tuendelee
Kumtunza Mdudu Nyuki
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizundua Mpango wa Kuendeleza Sekta ya
Ufugaji Nyuki kwa Tanzania iliyo Bora katika Maadhimisho ya Siku ya Nyuki
Duniani kw...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment