Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu wa Beralus, Viktor Karankevich alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Minsk nchini Belarus kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu nchini humo, Julai 21, 2025.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akichukuwa kipande cha mkate ukiwa ni utamaduni wa kukaribisha wageni nchini Belarus alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Minsk nchini humo kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu, Julai 21, 2025.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary Majaliwa wakipewa maua walipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Minsk nchini Belarus kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu nchini humo, Julai 21, 2025.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Belarus, Viktor Karankevich alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Minsk nchini Belarus kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu nchini humo, Julai 21, 2025. Wengine kutoka kushoto ni Balozi wa Tanzania Urusi na Belarusi, Frederick Ibrahim Kibuta , Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Kazi , Uchumi na Uwekezaji Zanzibar, Shariff Ali Shariff, na watatu kushoto ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Cosato Chumi.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Belarus, Viktor Karankevich alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Minsk nchini Belarus kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu nchini humo, Julai 21, 2025.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment