Kama una kumbukumbu yoyote na wauzaji wa aina hii tukumbushe basi mdau
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
22 minutes ago
1 Comments
Hii safi sana.
ReplyDeleteInanikumbusha siku hizo nasimama kwenye mivinje upande wa pili na kwenda kununua samaki fresh kwa jamaa hao. Lakini nasikia siku hizi mkule kama huyo hapo bei yake utakimbia. Sasa nani wanaonunua samaki kama samaki ni ghali sana? Na jee ile biashara ya hao jamaa kufukuzana na jamaa wa baraza la mji haipo tena?
Mdau
USA