6/recent/ticker-posts

RAIS KARUME AKUTANA NA BALOZI WA AFRIKA YA KUSINI IKULU

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume, akisalimiana na Balozi wa Afrika ya Kusini nchini Tanzania, Dk Thanduyise H.Chiliza, alipofika ikulu mjini Zanzibar leo.
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu

Post a Comment

0 Comments