Mmoja kati ya marafiki zake wakubwa marehemu Abdulrahman Mohamed Babu, Profesa wa sheria kwenye chuo kikuu cha North Carolina, Bereket Habte Selassie (pichani) akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Babu alipofika Zanzibar akiwa njiani kwenda Dar Es Salaam kuhudhuria mkutano wa Nyerere Foundation hivi majuzi.
Picha na Martin Kabemba
TPSC YAWAUNGANISHA WATAALAMU KUJADILI MATUMIZI YA AKILI MNEMBA KATIKA SEKTA
YA UMMA
-
Na Mwandishi Wetu — Dar es Salaam, 12 Februari 2026
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kimeongoza mdahalo wa kitaalamu
uliolenga kujadili matumizi...
3 hours ago

0 Comments