Mandhari na harakati za kila siku katika eneo hili la Darajani Mjini Zanzibar, kama linavyoonekana pichani wakati wa kazi asubuhi ndivyo linavyokuwa na pirika pirika za hapa na pale na msongamano wa watu wakiwa katika shughuli zao.
LHRC yafungua kesi EACJ kupinga kuzimwa kwa mtandao nchini
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimefungua Kesi Na. 56/2025
katika Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki kikilalamikia h...
23 hours ago
0 Comments