Barabara kutoka Mikunguni kwenda Mwembenjugu ikiwa katika matengenezo makubwa baada ya kukumbukwa. Caterpillar likiwa kazini kuburuga kabla ya kuwekwa lami mpya
UBORESHAJI WA HUDUMA ZA WATEJA: MBUNGE BAGAMOYO AKABIDHI MAGARI KWA TANESCO
-
Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Mhe. Subira Mgalu leo Machi 03, 2026
amekabidhi magari mapya kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wilaya ya
Bagamoyo mko...
25 minutes ago
0 Comments