WAZIRI wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Abdillah Hassan Jihad akizungumza na Uongozi wa TFF na ZFA katika ushirikiano wa masuwala ya michezo kwa pande hizo mbili mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa hateli ya Bwawani jana, kulia Rais wa TFF LeodgarTenga.
SERIKALI YADHAMIRIA KULETA MABADILIKO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA KILIMO
KUPUNGUZA UMASKINI:SILINDE.
-
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe David Silinde amesema kuwa Serikali imeweka
dhamira ya kuleta mabadiliko katika sekta ya kilimo ili kupunguza umaskini
na kuon...
20 minutes ago
1 Comments
lkn mkuu, umeutumia vizuri mkutano wako na tenga? maana sasa tunahitaji kua 'realistics'Tunakataa udhamini wa bia, ligi inakosa udhamini huku bia zina uzwa mpaka chochoroni!'U can't force conviction by dagger' Tunang'ang'ania kuomba uanachama wa FIFA(jambo ambalo ni kinyume na katiba yake) huku ligi yetu inatushinda...sie twaonewa tuuu!!!
ReplyDelete