HARAKATI za hapa na pale katika mtaa wa Darajani zikizidi kila siku kwa huduma ya biashara katika mji huo wa Stone Town.
DKT. MAULID ASISITIZA ITIFAKI NA TABIA NJEMA KWA VIONGOZI WA ELIMU
-
Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri
Tanzania Bara (REDEOA) umeendelea kufanyika jijini Arusha kwa siku saba
tangu ulipofun...
4 hours ago
1 Comments
Hivi hili jumba refu kama treni hapa darajani mmiliki wake nani? linachafua mandhari yote ya mji! halifanyiwi ukarabati wala kupakwa rangi na lina maduka tele na wapangaji ndani yake, tuseme hawalipi kodi au ndio katika kero za Muungano hizi? Kuna wakati mwl. wangu wa mathmatics alitaka makontena ya darajani yaondolewe yanachafua mandhari ya mji, haya..hiyo 'treni'????
ReplyDelete