Wachezaji wa timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, wakiwa katika mazoezi, katika Uwanja wa kijiji cha Al Maad Olimpiki Centre, Misri, ambako timu hiyo imeweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Chalenji, Wanaoonekana mbele, kutoka kushoto ni Abdulhalim Humud, Suleiman Kassim na Khamis Mcha 'Viali'. ( Picha kwa Hisani ya ZFA).
Ruby Play Yafungua Burudani ya Kasino Ndani ya Meridianbet
-
KUNA wakatia burudani hubadilika na kuwa uzoefu kamili, ndipo Ruby Play
inapokutana na Meridianbet. Ushirikiano huu mpya unaanzisha sura tofauti
kabisa ya...
36 minutes ago


1 Comments
hawa ni Timu ya vijana au wakubwa maana naona hawana miili ya kiutu uzima kama wachezaji wa zamani kina koresheni,Inosent haule,shaban mussa, na wengineo. inaonekana lishe hakuna kweli tutasonga mbele??
ReplyDelete