Wachezaji wa timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, wakiwa katika mazoezi, katika Uwanja wa kijiji cha Al Maad Olimpiki Centre, Misri, ambako timu hiyo imeweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Chalenji, Wanaoonekana mbele, kutoka kushoto ni Abdulhalim Humud, Suleiman Kassim na Khamis Mcha 'Viali'. ( Picha kwa Hisani ya ZFA).
UELEWA WA PAMOJA KWA USTAWI WA PAMOJA: WANAHABARI WANOLEWA KUHUSU DIRA 2050
-
Wanahabari wametakiwa kuwa daraja la kuifikisha kwa umma mikakati na
malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kuhakikisha kunakuwepo
uelewa wa pamoja...
1 hour ago


1 Comments
hawa ni Timu ya vijana au wakubwa maana naona hawana miili ya kiutu uzima kama wachezaji wa zamani kina koresheni,Inosent haule,shaban mussa, na wengineo. inaonekana lishe hakuna kweli tutasonga mbele??
ReplyDelete