Wachezaji wa timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, wakiwa katika mazoezi, katika Uwanja wa kijiji cha Al Maad Olimpiki Centre, Misri, ambako timu hiyo imeweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Chalenji, Wanaoonekana mbele, kutoka kushoto ni Abdulhalim Humud, Suleiman Kassim na Khamis Mcha 'Viali'. ( Picha kwa Hisani ya ZFA).
Kampuni Ya Airtel Tanzania Imewataka Wanavyuo Nchini Kutumia Fursa ya
Kimtandao
-
KAMPUNI ya ya Airtel Tanzania imewataka wanavyuo nchini kutumia fursa ya
kimtandao katika kuwasaidia kuboresha taaluma zao pindi wawapo vyuoni.
Hayo yam...
27 minutes ago


1 Comments
hawa ni Timu ya vijana au wakubwa maana naona hawana miili ya kiutu uzima kama wachezaji wa zamani kina koresheni,Inosent haule,shaban mussa, na wengineo. inaonekana lishe hakuna kweli tutasonga mbele??
ReplyDelete