Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akizungumza kwenye mkutano wa majadiliano wa Viongozi wakuu wa Nchi wanachama 194 wa Itifaki wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya Tabianchi, juu ya kupunguza uzalishaji wa gesijoto Duniani kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa 17 wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya Tabianchi Duniani uliofanyika jana Desemba 6, mjini Daban. Picha na Amour Nassor-OMR
CHONGOLO AITAKA COOP BANK KUHAKIKISHA INALINDA MIFUMO YA KIFEDHA KUEPUKA
HASARA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma.
Waziri wa Kilimo Daniel Chongolo amesisitiza Uongozi wa Benki ya Ushirika
juu ya ulinzi wa mifumo hasa ya kifedha kwan...
24 minutes ago


0 Comments