Wanafunzi wakichezea maji ya Mvua katika maeneo ya Amani, wakati wakitoka Skuli, baada ya kumalizika kwa mvua iliokuwa ikinyesha kwa muida wa dakika 45 na kusababisha kujaa kwa maji katika eneo hilo na kufanya mchezo bila ya kujali afya yao.
DKT. MAULID ASISITIZA ITIFAKI NA TABIA NJEMA KWA VIONGOZI WA ELIMU
-
Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri
Tanzania Bara (REDEOA) umeendelea kufanyika jijini Arusha kwa siku saba
tangu ulipofun...
5 hours ago
0 Comments