DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
1 hour ago
1 Comments
Yaani hawa Waomani mimi hata siwaelewi!..Yaani ukiangalia historia ya Oman na Z'bar na tulikotokea!..Huwezi kuamini kama wangeweza kuiacha Z'bar ktk hali ya umaskini!
ReplyDeleteMimi naamini kama wangeisaidia Z'bar, isingekua faida tu kwa serikali au kwetu sisi'gozi gozi' bali hata kwa ndugu zao wa damu ambao bado wapo hapa na wataendelea kuwepo Z'bar kwa vile pamesha kua pao.
Tuseme wasije kutusaidia, basi hata kuja kutembelea yale magofu yao na makaburi ya babu zao..wanashindwa na wazungu?..ama Warabu kiboko!!..Mungu awasaidie!!