Mdau wa Makamu wa Pili wa Rais Kaka Hassan Issa, Mdau Amour Nassor wa Makamu wa Rais wa Tanzania, Mdau wa Blog hii Othman Maulid, Mdau Ramadhan Othman wa Rais wa Zanzibar na Mdau Sufiani Mafoto wa Makamu wa Rais wa Tanzania, wakiwa katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisuwandui wakisubiri kupiga kazi ili kuwewezesha wadau wa habari kupata vitu vya uhakikika katika hafla hiyo ya kisomo cha Khitma.
Tanzania Yatangaza Fursa Mpya za Uwekezaji Sekta ya Afya Kimataifa
-
Na Mwandishi Wetu, London
WAZIRI wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametangaza kuwa Tanzania iko
tayari kushirikiana na wawekezaji wa kimataifa katika kuku...
4 minutes ago
1 Comments
Kaka Mapara, sikuweza kukutambua mara moja kutokana na 'kiuwa'..mambo ya Zenj hayo!
ReplyDeleteHongereni kwa kazi nzuri mnayoifanya!