Baadhi ya Wanakamati wa An-noor Community Centre Leicester - UK
Picha juu ni baadhi ya Waumini walioitikia wito kuhudhuria Chakula cha jioni katika kutafuta pesa kwa ajili ya kununua jengo la Jumuiya
Msaidizi Meya wa Jiji la Leicester Abdul Osman akitoa nasaha zake wakati wa chakula cha jioni kuhimiza waislamu kuchangia katika amali za kheri kwa faida zao wenyewe.
Ghafla hii isingelinoga bila ya kuwepo nguli wa upishi wa Biriani na mahanjumati mengine Leicester na Uingereza kwa ujumla, Maalim Khamis Kulia na Maalim Zubeir Pongwa wakati wakiwaandalia waliohudhuria ghafla hii.
TANESCO RUVUMA YAWAFIKIA WANAFUNZI TUNDURU, YATOA ELIMU YA MATUMIZI YA UMEME
-
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ruvuma limeendelea na zoezi la
utoaji wa elimu kwa wateja kwa kuwafikia wanafunzi wa shule za msingi na
sekon...
42 minutes ago
0 Comments