MWAKILISHI Mkaazi wa Shirika la Kazi
Duniani (ILO) Zanzibar, Fatma Mohammed (kushoto) akimkabidhi msaada wa
kompuyta Waziri wa Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Zanzibar,
Haroun Ali Suleiman ,ILO imetoa msaada wa komputa nne kwa Wizara ya Kazi zenye
thamani ya dola elfu nne makabidhiano hayo yalifanyika Makao Makuu ya Wizara
hiyo Mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi jana.(Picha na Haroub Hussein).
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
9 hours ago
0 Comments