MWAKILISHI Mkaazi wa Shirika la Kazi
Duniani (ILO) Zanzibar, Fatma Mohammed (kushoto) akimkabidhi msaada wa
kompuyta Waziri wa Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Zanzibar,
Haroun Ali Suleiman ,ILO imetoa msaada wa komputa nne kwa Wizara ya Kazi zenye
thamani ya dola elfu nne makabidhiano hayo yalifanyika Makao Makuu ya Wizara
hiyo Mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi jana.(Picha na Haroub Hussein).
MIKOKO YAPEWA KIPAUMBELE KITAIFA
-
-Waziri: Hekta 158,000 za hifadhi zilindwe, ziwe ngao ya mabadiliko ya
tabianchi
Na Mwandishi Wetu, Lindi
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe Dkt. Ashatu ...
54 minutes ago
0 Comments