Kisanduku cha Posta kama kilivyokutwa mitaa ya Kilimani. Utaratibu huu ulikuwepo zamani na baadae vikapotea. Tunalishukuru Shirika la Posta na Simu kwa kuweza kurudisha huduma hii kuwarahisishia wateja kutua barua bila ya kwenda Posta
MAWAKILI MNA NAFASI KUBWA YA KUONDOA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KISHERIA
KATIKA TAIFA HILI” – NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
-
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno amemuwakilisha
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari katika sherehe za
kupokelewa na...
22 minutes ago
0 Comments