Kisanduku cha Posta kama kilivyokutwa mitaa ya Kilimani. Utaratibu huu ulikuwepo zamani na baadae vikapotea. Tunalishukuru Shirika la Posta na Simu kwa kuweza kurudisha huduma hii kuwarahisishia wateja kutua barua bila ya kwenda Posta
MRADI WA BILIONI 15.3 WA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 175 WAPOKELEWA KWA
SHANGWE MTWARA
-
-Zaidi ya Kaya 5,600 kunufaika
Wananchi wa vitongoji vya Msokole na Funguni Kijiji cha Mnazi Kata ya
Nalingu Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuwape...
8 minutes ago
0 Comments