Kocha Mkuu wa timu ya Yanga Afrika, kiwa n Kocha Msaidizi Minziro na Kiongozi wa Yanga wakiingia uwanja wa Taifa kuangalia mchezo wa Fainali kati ya timu ya Azam na Simba kujionea jinsi timu hizo zinavyocheza ili kuusoma michezo yao.
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
6 hours ago
0 Comments