Kocha Mkuu wa timu ya Yanga Afrika, kiwa n Kocha Msaidizi Minziro na Kiongozi wa Yanga wakiingia uwanja wa Taifa kuangalia mchezo wa Fainali kati ya timu ya Azam na Simba kujionea jinsi timu hizo zinavyocheza ili kuusoma michezo yao.
TRA YAZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MASUALA YA FORODHA
KWA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua dawati maalum la uwezeshaji
biashara za Forodha kwa wafanyabiashara wa Kariakoo pekee ili kuharakisha
upatikanaj...
12 hours ago
0 Comments