Mafundi wakijenga ukuta ili kuzuiya uharibifu wa mazingira unaofanywa na maji ya bahari, na kusababisha sehemu kubwa ya eneo hilo kuliwa na bahari katika sehemu ya jirani na msikiti mabuluu.
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
3 hours ago
0 Comments