6/recent/ticker-posts

Dk Shein Awasili Chokocho, Wilaya ya Mkoani


Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Wazee wa kijiji cha Chokocho Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba Leo,akiwa katika ziara maalum kisiwani humo. [Picha na Othman Maulid.]

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,akisalimiana na Wazee wa kijiji cha Chokocho Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba Leo,akiwa katika ziara maalum kisiwani humo. [Picha na Othman Maulid.]

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Watoto wa kijiji cha Chokocho Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba Leo,akiwa katika ziara maalum Kisiwani humo. [Picha na Othman Maulid.]

Post a Comment

0 Comments