Jengo la Skuli ya Hamamni likiwa katika ukarabati mkubwa wa jengo hilo, ili kuliimarisha ubora wake ili kutowa huduma kwa wanafunzi wanaosoma skuli hiyo,kwa sasa wanafunzi wake wamehamishiwa skuli mbalimbali kuendelea na masomo yao kupisha ujenzi huo.
Kitaifa : Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akutana na waziri Mkuu Mstaafu
Kassim Majaliwa
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim
Majaliwa nyumbani kwake Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi.
Mheshimiwa Dkt. Mwigu...
3 hours ago
0 Comments