Magari haya hayako katika maegesho ila yakisubiri kupakiwa katika meli ya Sea Link 1 ya kampuni ya Azam Marine kwa ajili ya kusafirishwa nje ya Zanzibar kwenda Dar-es- Salaam, eneo hili limejengwa na kampuni ya Azam na Shirika la Bandari Zanzibar kutolea huduma ya kupakilia abiria wanaokwenda Pemba na Dar.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
9 hours ago
0 Comments