Moja ya Marikiti Kuu Zanzibar ambayo hutowa huduma za kujipatia vitu na bidhaa mbalimbali kwa Wananchi wa Unguja. Soko hili ni kivutio cha Wageni wanaotembelea Zanzibar likiwa lina historia ya aina yake Zanzibar.
MASTERCARD YAITAMBUA EXIM BANK TANZANIA KWA TUZO MBILI, IKITHIBITISHA
UONGOZI KATIKA HUDUMA ZA ELITE NA MATUMIZI YA KADI
-
Mastercard leo imefanya ziara yake maalumu katika makao makuu ya Benki ya
Exim Tanzania jijini Dar es Salaam, kuimarisha zaidi ushirikiano wa
kimkakati ka...
6 hours ago
2 Comments
Mwandishi ni vizuri kuandika"Soko hutowa huduma za kujipatia vyakula mbalimbali badala ya kuandika vifaa mbalimbali maana hapo hapauzwi nondo ,saruji wala mabati, hapo wananchi wanajipatia mahitaji ya chakula.
ReplyDeleteSawa mkuu tumerekebisha na kuweka vitu na bidhaa.
ReplyDeleteShukran kwa angalizo