Wafanya biashara ya samaki katika eneo la Maisara Kizingo wakitowa maelekezo ya wateja wao wapi wako baada ya kukubali amri ya manispa ya Zanzibar kuondoka eneo hilo ambalo haliruhusiwi kufanya biashara kutokana na kuweka mazingira mazuri eneo hilo.
MKUU WA WILAYA YA ARUSHA AFUNGA MKUTANO WA 18 WA JTSR NA KUZINDUA MPANGO WA
MAZINGIRA
-
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude, Tarehe 17 Desemba, 2025 kwa niaba
ya Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amefunga rasmi Mkutano wa 18
wa ...
17 hours ago
1 Comments
he he he..Zanzinews kiboko ya stress bwana wee...Hongera Mapara hilo bango limenichekesha kweli kweli ni comedy ya aina, hata mimi nikilisoma linaniacha hoi sijui mtalii akitafsiriwa litamchanganya kinoma.
ReplyDelete